Friday, September 30, 2011

MBEYA




Mzee Kiyungi akiwa katika sherehe ya cku ya kuzaliwa Frey Herbert "Mfalme Daud" kwenye viwanja vya ofic ya Bomba fm jijini Mbeya hivi karibuni.

Sunday, August 21, 2011

SIKILIZA BOMBA FM ON LINE


Sikiliza Bomba FM Radio on line kupitia http://bombafmonline.blogspot.com

Monday, May 16, 2011

umri mmoja



Vijana hawa wazamani ambao kwa sasa ni wazee toka kushoto ni Mzee Bakari Kawego,Mzee Mashaka Mapalala Mankupu na Mzee Kiyungi wakiwa katika picha ya pamoja mjini Tabora mwaka 2008.Wazee hawa walizaliwa mwaka mmoja katika miaka 1950's lakini walikutana na kukumbusahna mengi hasa walivyokuwa wakuchezea magri ya mabua, kukoga katika mbwawa kuwinda ndege kuchuma matunda porini. ilikuwa cku ya furaha mno baada ya kukutana tena baada ya kupotena toka mwaka 1968.

Tuesday, May 10, 2011

BOMBA FM Radio Staff


MZEE KIYUNGI AKIWASIKILIZA BAADHI YA STAFF WENZAKE WA BOMBA FM Redio YA JIJINI MBEYA WAKATI WA SHINDANO LA DJ BORA HIVI KARIBUNI.

MZEE KIYUNGI AKIMSHANGILIA IMMA "BOY" WA BOMBA FM Radio,WAKATI ALIPOKUWA AKI"SCRATCH"DJ MACHINE WAKATI WA SHINDANO LA DJ BORA JIJINI MBEYA. KUSHOTO MTANGAZAJI WA REDIO HIYO LIZZY ROMMY.(Picha:Mroki Mroki)

MATONYA


STAILI KALI ZA KUOMBA KATIKA JIJI LA MOROGORO LIKIONGOZWA NA MATONYA.

BOMBA FM Radio Staff


WATANGAZAJI BOMBA FM Redio WAKIWA NA FAMILIA ZAO WAKIMPA SHAVU MWENZAO IMMA "BOY" MWENYE TSHIRT(104)AMBAYE ALIKUWA DJ BORA KATIKA SHINDANO LA MA DJ JIJINI MBEYA 2011.